Pia, lina mahali pa kupiga magoti, kwa ajili ya ibada na msalaba mkubwa, na Papa anaweza kuhudhuria au ... ili kuombea afya ya Papa. Maua, kadi, picha na mishumaa mara nyingi huwekwa chini ya sanamu ...
"Mkutano huo utatoa picha ya kinachoendelea katika chama, ukiwepo mpango wa kufukuzwa na viongozi wa juu wa chama hicho kufuatia ukiukwaji mkubwa wa katiba ya chama hicho uliofanywa katika Uchaguzi ...
Akijulikana kama "mtu mwenye mkono wa dhahabu," ambapo damu yake ilikuwa na kinga adimu, Anti-D, ambayo hutumiwa kutengeneza ...
Sanamu la Papa John Paul II lililopo nje ya Hospitali ya Gemelli. Sanamu hiyo inaonyesha Papahuyo akiwa ameinama na kushikilia msalaba, ilikuwa ni katika miaka yake ya mwisho katika utume wake. Papa ...
Hamas imekabidhi miili ya mateka wanne wa Israel, na nchi hiyo pia imewaachia huru mamia ya wafungwa wa Kipalestina kama sehemu ya makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.
Mikanda ya video na picha za mnato zilizosambaa mitandaoni zinaonesha umati wa watu ukikimbia kutoka eneo la mkutano huku chini kukiwa na miili ya watu iliyojaa damu. Milipuko na milio ya risasi ...
Visitations will take place on Friday, February 28, 2025, at the Conway-Picha Funeral Home in Lyndon Station from 4:00 to 7:00 PM and again on Saturday from 10:00 AM until the time of Mass.
Tunaweza pia kuona kuwa shughuli za kijamii na kiuchumi zimeanza kurejea taratibu." Video hii inaonesha sasa mafundi chini ya usimamizi wa maafisa wa shirika la Msalaba Mwekundu na WHO wakisimika ...
BENCHI la ufundi la Simba linazidi kukuna kichwa juu ya jereha linalomsumbua beki wa kati, Fondoh Che Malone aliyepelekwa Morocco kwa ajili ya kufanyiwa matibabu kwa lengo la kuwahi mapema kabla ...
TANGA; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi jengo la Halmashauri ya Wilaya yaBumbuli katika muendelezo wa ziara yake ya kikazi Lushoto mkoani Tanga leo Februari ...
Miongoni mwa wagonjwa wa sasa wa hospitali hiyo ni Papa Francis, ambaye alilazwa wiki iliyopita akiwa na maambukizi ya mfumo wa kupumua. Amegunduliwa kuwa na homa ya mapafu katika mapafu yote mawili ...
A lot of people in the vfx and animation industries have been on edge this weekend as word spreads that Paris-based vfx conglomerate Technicolor Group is on the brink of total collapse. The entire ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results